03/06/2026
Invitation to Participate in the Conference
Promoting accessible, equitable, harmonised and quality university education systems in Tanzania
03/06/2026
Invitation to Participate in the Conference
01/06/2026
Picha za matukio katika ziara ya Mwenyekiti wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), Prof. Makenya Maboko katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Stella Maris Mtwara (STeMMUCo), leo Juni 1, 2026.
Katika ziara hiyo, Prof. Maboko ameambatana na Katibu Mtendaji wa TCU, Prof. Charles Kihampa katika kutekeleza jukumu la Tume la Kufuatilia na kutathmini maendeleo pamoja na changamoto za vyuo vikuu ili kutoa ushauri katika maeneo yanayohitaji uboreshaji.
01/06/2026
Picha za matukio katika ziara ya Mwenyekiti wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), Prof. Makenya Maboko katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya - Kampasi ya Mtwara (MUST - Mtwara Campus), leo Juni 1, 2026.
Katika ziara hiyo, Prof. Maboko ameambatana na Katibu Mtendaji wa TCU, Prof. Charles Kihampa na kufanya mazungumzo na Menejimenti ya chuo hicho.
Aidha, katika ziara hiyo ya kikazi, Mwenyekiti wa Tume amepokelewa na Naibu Makamu Mkuu wa Chuo - Taaluma, Tafiti na Ushauri wa Kitaalamu, Prof. Said Ali Vuai na kutembelea maeneo yenye miundombinu ya kufundishia na kujifunzia yaliyopo katika chuo hicho.
Ziara hiyo ni mwendelezo wa ziara ya Tume katika vyuo vikuu vyote nchini ikiwa ni sehemu ya jukumu lake la kufuatilia na kutathmini maendeleo pamoja na changamoto za vyuo vikuu ili kutoa ushauri katika maeneo yanayohitaji uboreshaji.
27/05/2026
TCU JOGGING DAY
Dar es Salaam: May 16, 2026
Our Slogan: "Health for Excellence"
16/05/2026
TCU JOGGING DAY
Dar es Salaam: May 16, 2026
Our Slogan: "Health for Excellence"
16/05/2026
TCU JOGGING DAY
May 16, 2026
Our Slogan: "Health for Excellence"
16/05/2026
TCU JOGGING DAY
MAY 16, 2026
| Monday | 19:30 - 15:30 |
| Friday | 19:30 - 03:30 |