Kiapo cha Viongozi wapya wa Skauti Katoliki Taifa
Skauti Katoliki
UFAFANUZI:
Skauti ni jambo la hiari lisilo la kisiasa
harakati za elimu kwa vijana
watu hufungua kwa wote bila
tofauti ya asili, rangi au imani.
KUSUDI LA HARAKATI ZA Skauti:
Madhumuni ya Harakati za Skauti
12/06/2026
1. Trh 9/6/2026 - Uchaguzi
2. Jimboni Morogoro - Amabilis Centre
3. Mwenyekiti, Katibu na Mtunza hazina wa Skauti Jimbo, Kamati Tendaji ya Taifa iliyomaliza muda, na Mapadre Walezi wa Jimbo
Kamati Tendaji iliyomaliza Muda
1. Sterphord Kazingo - M/Kiti
2. Veronika Mwambuta - M/M/Kiti
3. James Kwembe - Katibu
4. Veronica Kikoko - M/hazina
Ikumbukwe katibu Msaidizi alikuwa Atupakisye Jabiri aliyeitwa na Bwana mwaka 2025.
Viongozi Wapya
1. Sterphord Kazingo - M/Kiti (Mwanza)
2. Veronika Mwambuta - M/M/Kiti(Singida)
3. James Kwembe - Katibu (DSM)
4. Happy Mtatiro K/Msaidizi ( Morogoro)
5. Veronica Kikoko - M/hazina (Kigoma)
Mkutano uliudhuliwa na
1. Mhashamu Askofu Mkuu Gervas Nyaisonga - Askofu Mlezi Taifa - Skauti Katoliki Tanzania
2. Pd. Liston Lukoo - Padre Mlezi Taifa - Ofisi ya Vijana TEC
3. Watazamaji Kutoka Majimbo Tofauti ( waalikwa)
Tunamshukuru Mungu tumemaliza Salama.
12/06/2026
Baada ya yote walifanya ziara ya kichungaji katika Kanisa kuu la Mtakatifu Patrick .
12/06/2026
Baada ya Mkutano wa Uchaguzi, wajumbe wachache walipata nafasi kwenda kumtembelea Bahati camp Morogoro.
12/06/2026
Viongozi na wawakilishi wa Skauti Katoliki Jimbo kuu laDar es Salaam, wakiwa katika picha ya Pamoja na Mhashamu Askofu Mkuu Gervas Nyaisonga - Askofu Mlezi Taifa - Skauti Katoliki Tanzania
Pd. Liston Lukoo - Padre Mlezi Taifa - Ofisi ya Vijana TEC
Watazamaji Kutoka Majimbo Tofauti ( waalikwa).
12/06/2026
Viongozi na wawakilishi wa Skauti Katoliki Morogoro, wakiwa katika picha ya Pamoja na Mhashamu Askofu Mkuu Gervas Nyaisonga - Askofu Mlezi Taifa - Skauti Katoliki Tanzania
Pd. Liston Lukoo - Padre Mlezi Taifa - Ofisi ya Vijana TEC
Watazamaji Kutoka Majimbo Tofauti ( waalikwa).
12/06/2026
Viongozi na wawakilishi wa Skauti Katoliki Jimbo la Kigoma, Picha ya Pamoja na Mlezi wa Taifa Askofu Mkuu Gelvas Nyaisonga.
12/06/2026
Baada ya Uchaguzi Mkuu wajumbe walipata Picha ya Pamoja.
Hawa ndio Viongozi wetu na wawakilishi kutoka katika Majimbo katoliki Tanzania.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Contact the business
Telephone
Website
Address
Isevya
Dar Es Salaam
255
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
