10/06/2026
Tanzania Railways Corporation
Tanzania Railways Corporation(TRC) is a state corporation created with the core mandate of providing Ukurasa rasmi wa Facebook wa Shirika la Reli Tanzania.
Shirika linalotoa huduma ya Usafiri wa abiria na mizigo na kusimamia miundombinu ya Reli Tanzania.
10/06/2026
10/06/2026
TRC YATOA ELIMU YA MAZINGIRA KWA WADAU MBALIMBALI
04/06/2026
TAARIFA KWA UMMA.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba amesema, serikali chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inafanya jitihada mbalimbali kupambana na uchafuzi wa mazingira kwa kuzuia uzalishaji wa moshi (emissions)
Miongoni mwa jitihada hizo ni ukamilishaji wa mradi wa reli ya kisasa (SGR) ambayo itapunguza kwa kiasi kikubwa uzalishaji moshi.
Dkt. Mwigulu ameongeza, ukisasa wa reli hiyo ni wakupigiwa mfano akieleza kuwa hata wageni kutoka Benki ya Dunia na IMF walipokuja Tanzania na kujionea reli hiyo walisema kuwa ukisasa wake labda hata kwao ulaya (Europe) haupo.
Ameyasema hayo leo Mei 28, 2026, katika Kongamano la Kitaifa la Wadau wa Mazingira pamoja na maadhimisho ya miaka 40 ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) yaliyofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere (JNICC), jijini Dar es Salaam.
Wanafunzi hawa wako zaidi ya 200, wanasafiri pamoja kati ya Morogoro na Dar Es Salaam, kwa kawaida ndege ya Boeing 757-200 huwa inachukua abiria 200, Je wangesafiri na ndege wangelipa kiasi gani? wangesafiri na basi la YUTONG linalobeba abiria 60, ina maana wangepanda mabasi 3 na coaster moja, faida ni nyingi za uwekezaji wa Serikali katika mradi huu.
28/05/2026
Hassle-free travel...Safari rahisi na yenye utulivu.!
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Railway Street
Dar Es Salaam
P.OBOX76959
Opening Hours
| Monday | 08:00 - 16:30 |
| Tuesday | 08:00 - 16:30 |
| Wednesday | 08:00 - 16:30 |
| Thursday | 08:00 - 16:30 |
| Friday | 08:00 - 16:30 |
| Saturday | 08:00 - 12:30 |
