Msemaji Mkuu wa Serikali

Msemaji Mkuu wa Serikali

Share

Ukurasa Rasmi wa Msemaji wa Serikali ya Tanzania | Official account of the Chief Spokesperson of the Government of Tanzania.

08/06/2026

Rais wa Singapore Mhe. Tharman Shanmugaratnam awasili Nchini Tanzania.

31/05/2026

Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Serikali kutokea Mkoani Morogoro , Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaaa na Michezo na Msamaji Mkuu wa Serikali Ndugu Gerson Msigwa atatoa taarifa ya Serikali kwa Umma wa Watanzania pamoja na kueleza mambo mbalimbali yaliyofanywa na yatakayofanywa na Serikali sambamba na kujibu maswali mbalimbali toka kwa Waandishi wa Habari, Taarifa hii itawajia kutokea Mkoani Morogoro kwenye Mradi wa Bwawa la Kidunda.

26/05/2026
22/05/2026

Waziri wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul C. Makonda (Mb) anaongea na Waandishi wa Habari ukumbi wa Hotel ya Hyatt Regency Dar es Salaam.

21/05/2026

Mapokezi ya Rio Ferdinand Arusha na Kutembelea Uwanja wa Arusha yatakapofanyika Mashindano ya AFCON 2027

Want your business to be the top-listed Government Service in Dodoma?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Address


Dodoma